Watalii waenda Chengdu kufurahia maisha ya kustarehesha (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 04, 2023
Watalii waenda Chengdu kufurahia maisha ya kustarehesha
Agosti 1, 2023, maonesho ya mianga ya taa kuhusu Michezo ya Vyuo Vikuu ya Dunia yanoneshwa kwenye skrini kubwa ya ukuta wa Mnara Pacha wa Chengdu, Sichuan, yakivutia watalii wengi kuyatazama. (Picha ilipigwa na Qu Honglun/Chinanews)

Wakati wa Michezo ya 31 ya Vyuo Vikuu ya Dunia ya majira ya joto ya FISU, watalii wamekwenda kwenye mji wa Chengdu wakifurahia maisha ya kustarehesha huko.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha