Mandhari ya Ukuta Mkuu wa China sehemu ya Laoniuwan ya Mto Manjano

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Desemba 20, 2023
Mandhari ya Ukuta Mkuu wa China sehemu ya Laoniuwan ya Mto Manjano
Picha hii iliyopigwa Agosti 24, 2023 ikionyesha Ukuta Mkuu wa China uliojengwa wakati wa Enzi ya Ming ya China ya kale (1368-1644) sehemu ya Laoniuwan ya Mto Manjano kwenye mpaka kati ya mikoa ya kaskazini mwa China ya Shanxi na Mkoa wa Mongolia ya Ndani. Ukuta Mkuu wa China uliojengwa wakati wa Enzi ya Ming ya China ya kale (1368-1644) unakutana na Mto Manjano katika sehemu ya Laoniuwan kwenye mpaka kati ya mikoa ya kaskazini mwa China ya Shanxi na Mongolia ya Ndani. (Xinhua/Liu Jinhai)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha