Mji wa Laoniuwan nchini China wasaidia sekta ya utalii kwa kuendeleza miradi ya burudani

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Desemba 22, 2023
Mji wa Laoniuwan nchini China wasaidia sekta ya utalii kwa kuendeleza miradi ya burudani
Picha hii iliyopigwa Agosti 24, 2023 ikionyesha Ukuta Mkuu wa China uliojengwa wakati wa Enzi ya Ming ya China ya kale (1368-1644) sehemu ya Laoniuwan ya Mto Manjano kwenye mpaka kati ya mikoa ya kaskazini mwa China ya Shanxi na Mongolia ya Ndani. Katika miaka ya hivi karibuni, Mji wa Laoniuwan katika Wilaya ya Qingshuihe nchini China umechukua fursa ya upekee wa kijiografia wa eneo la Laoniuwan, ambalo liko kwenye makutano ya Ukuta Mkuu wa China na Mto Manjano, na kusaidia kwa nguvu kubwa sekta ya utalii kwa kuendeleza miradi ya burudani ili kuvutia watalii zaidi. (Xinhua/Liu Jinhai)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha