

Lugha Nyingine
Reli ya Mwendo kasi ya HSR nchini Indonesia yasafirisha abiria zaidi ya 1,000,000
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Desemba 26, 2023
![]() |
Abiria wakitumia tikiti zao kuingia kwenye Kituo cha Halim katika Jakarta, Indonesia, Desemba 25, 2023. |
Tarehe 25 Kampuni ya China State Railway ilisema kuwa hadi Desemba 24, reli ya mwendo kasi ya Jakarta-Bandung (HSR) nchini Indonesia ambayo ni mradi wa ushirikiano wa “Ukanda Mmoja, Njia Moja” kati ya China na Indonesia imesafirisha abiria zaidi ya 1,000,000. (Picha na Xu Qin/Xinhua )
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma