

Lugha Nyingine
Wataalam kutoka nje wachangia juhudi za kustawisha Kaskazini Mashariki mwa China (9)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Desemba 28, 2023
Katika miaka ya hivi karibuni, eneo la Kaskazini-Mashariki mwa China limetekeleza kikamilifu mkakati wa maendeleo yanayotegemea uvumbuzi. Marafiki wengi kutoka nchi za nje wameona fursa na kuamua kuishi hapa ili kutimiza ndoto zao. Wakiishi katika eneo hilo, wameshuhudia maendeleo ya haraka ya kiuchumi na kijamii na wakati huo huo wamechangia kwa juhudi zao wenyewe katika ustawishaji wa pande zote wa Kaskazini Mashariki mwa China.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma