

Lugha Nyingine
Long/Wang wa China Washinda Medali za Dhahabu kwenye mashindano ya mchezo wa wachezaji wawili wa kiume kupiga mbizi pamoja kutoka kwenye jukwaa la kimo cha mita 3 kwenye Michezo ya Olimpiki ya Paris (6)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 03, 2024
![]() |
Washindi wa medali za dhahabu Long Daoyi(kushoto)/Wang Zongyuan wa China wakipiga picha pamoja kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Joto ya Paris 2024, tarehe 2, Agosti 2024. |
Siku hiyo, wachezaji wa China Long Daoyi(kulia)/Wang Zongyuan wamepata medali za dhahabu kwenye mashindano ya mchezo wa wachezaji wawili wa kiume kupiga mbizi pamoja kutoka kwenye jukwaa la kimo cha mita 3 kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Joto ya Paris 2024.
(Mpiga picha: Zhang Yuwei/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma