

Lugha Nyingine
Uchumi wa anga ya chini waongeza maendeleo ya sifa bora katika Mkoa wa Liaoning, China
SHENYANG - Uchumi wa anga ya chini ukiwa nguvu mpya ya maendeleo ya uchumi na jamii, umechukuliwa na watu wengi kuwa shughuli mpya muhimu inayoibuka ya kimkakati.
Katika miaka ya hivi karibuni, Mkoa wa Liaoning kaskazini mashariki mwa China umekuwa ukitumia fursa kukuza ipasavyo uchumi wake wa anga ya chini. Mkoa huo umetumia vya kutosha hali inayofaa ya eneo lake la kijiografia na nguvu zake bora katika nyanja za usafiri wa anga na vyombo vya anga, umeweka mkazo wa maendeleo yake ya uchumi wa anga ya chini kwenye sekta za jumla za anga na droni, na kuboresha mazingira ya utumiaji kama vile uokoaji wa dharura, utalii wa kutazama mandhari, na ulinzi wa kilimo na misitu.
Upandaji mahindi waingia kipindi cha kilele katika Mkoa wa Mongolia ya Ndani, China
UNESCO latoa wito upya wa kuimarishwa ulinzi wa maeneo ya urithi ya Afrika
Maonyesho ya Kimataifa ya Baiskeli ya China 2025 yaanza Shanghai
Shaolin Kungfu, chombo muhimu cha mawasiliano ya Utamaduni wa China na ulimwengu wa nje
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma