

Lugha Nyingine
Miti ya jacaranda katika mchanuo wa maua yavutia watalii mjini Kunming, China (3)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 14, 2025
Kwa sasa ni mwanzo wa majira ya joto nchini China, ambapo maua ya miti ya jacaranda yamechanua kikamilifu kwenye barabara ya kati ya Jiaochang Mjini Kunming, Mkoa wa Yunnan wa China.
Watalii hutembelea kwenye mitaa ya rangi ya buluu na zambarau, wakipiga picha za matawi ya maua, au kujipiga picha ya selfie katikati ya maua yanayopukutika, wakihisi na kufurahia uzuri wa kipekee wa mji huo.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Upandaji mahindi waingia kipindi cha kilele katika Mkoa wa Mongolia ya Ndani, China
UNESCO latoa wito upya wa kuimarishwa ulinzi wa maeneo ya urithi ya Afrika
Maonyesho ya Kimataifa ya Baiskeli ya China 2025 yaanza Shanghai
Shaolin Kungfu, chombo muhimu cha mawasiliano ya Utamaduni wa China na ulimwengu wa nje
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma