

Lugha Nyingine
Shughuli ya Siku ya Kimataifa ya Anuwai ya Viumbe 2025 yaanza Yichun, China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 23, 2025
Shughuli ya Siku ya Kimataifa ya Anuwai ya Viumbe 2025 imefanyika katika Mji wa Yichun, Mkoa wa Heilongjiang, kaskazini-mashariki mwa China jana Alhamisi, Mei 22, 2025. Ukiwa tajiri wa rasilimali za misitu, Mji huo wa Yichun unajivunia anuwai ya viumbe na mandhari nzuri ya kuvutia.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Shughuli za kiutamaduni zafanyika kwenye Jukwaa la Russia na China mjini Khabarovsk, Russia
Miti ya jacaranda katika mchanuo wa maua yavutia watalii mjini Kunming, China
Upandaji mahindi waingia kipindi cha kilele katika Mkoa wa Mongolia ya Ndani, China
UNESCO latoa wito upya wa kuimarishwa ulinzi wa maeneo ya urithi ya Afrika
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma