

Lugha Nyingine
Handaki la Mto Changjiang la Sabwei Laini 12 ya Wuhan, China latimiza mchakato mzima wa uchimbaji kwa mashine
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 17, 2025
![]() |
Wajenzi wakifanya kazi kwenye handaki la Mto Changjiang la Sabwei Laini 12 ya Wuhan mjini Wuhan, Mkoa wa Hubei, katikati mwa China, Julai 16, 2025. (Xinhua/Xiao Yijiu) |
Handaki la Mto Changjiang lenye urefu wa mita 4,011 la Sabwei Laini 12 ya mjini Wuhan katika Mkoa wa Hubei, katikati mwa China limetimiza mchakato mzima wa uchimbaji kwa mashine jana Jumatano. Laini hiyo ya sabwei yenye urefu wa kilomita 59.9 ni njia ndefu zaidi ya sabwei nchini China.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Wilaya ya Xuan’en yahimiza utalii wa usiku kando ya Mto Gongshui Katikati mwa China
Eneo la mtaa mkongwe lawa na ustawi kwa uvumbuzi wa kitamaduni na utalii mkoani Jiangxi, China
Mji wa Tianjin, China waharakisha ufungamanishaji wa uchumi wa kidijitali na uchumi halisi
Ardhioevu yalinda spishi za ndege kutoka kwenye uwanda hadi mijini
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma