

Lugha Nyingine
Utalii wa majira ya joto wastawi katika Wilaya ya Zhouning, Fujian, China
Wilaya ya Zhouning, inayopatikana katika Mkoa wa Fujian, kusini-mashariki mwa China ikiwa kwenye mwinuko wa wastani wa mita 880 kutoka usawa wa bahari, inajivunia kiwango chake cha msitu cha asilimia 72.96. Joto la wastani huko katika kipindi cha majira ya joto ni karibu nyuzijoto 24.
Katika miaka ya hivi karibuni, wilaya hiyo imekuwa ikitumia nguvu zake bora za kipekee za kiikolojia na rasilimali za utalii wa kitamaduni kuendeleza utalii wa majira ya joto, ikivutia watalii zaidi ya 200,000 kwa mwaka.
Wilaya ya Xuan’en yahimiza utalii wa usiku kando ya Mto Gongshui Katikati mwa China
Eneo la mtaa mkongwe lawa na ustawi kwa uvumbuzi wa kitamaduni na utalii mkoani Jiangxi, China
Mji wa Tianjin, China waharakisha ufungamanishaji wa uchumi wa kidijitali na uchumi halisi
Ardhioevu yalinda spishi za ndege kutoka kwenye uwanda hadi mijini
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma