

Lugha Nyingine
Mkoa wa Guangxi, China waunga mkono ujenzi wa miradi ya nyumba katika maeneo ya mijini
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 22, 2025
Tokea mwaka huu, Ofisi kuu ya fedha ya Guangxi, China imekusanya jumla ya fedha za ruzuku za yuan bilioni 3.4 (dola za Kimarekani kama milioni 473.9) kwa kuunga mkono ujenzi wa nyumba za bei nafuu katika maeneo ya mijini, ambayo imeboresha mahitaji ya umma ya makazi bora.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma