

Lugha Nyingine
Umwagiliaji maji kutokana na kubadilika kwa majira wafanyika Bayannur, Mkoa wa Mongolia ya Ndani, China (5)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Oktoba 17, 2025
![]() |
Picha iliyopigwa Oktoba 16, 2025 ikionyesha mradi wa kuhifadhi maji katika Wilaya ya Dengkou ya Bayannur, Mkoa unaojiendesha wa Mongolia ya Ndani, kaskazini mwa China. (Xinhua/Ma Jinrui) |
Eneo la Umwagiliaji la Hetao, lililoko Bayannur, Mkoa unaojiendesha wa Mongolia ya Ndani, kaskazini mwa China limekuwa likichepusha maji kutoka Mto Manjano kwa ajili ya umwagiliaji tangu Enzi ya Qin (221 B.C.-207 B.C.). Siku hizi umwagiliaji maji kutokana na kubadilika kwa majira unafanyika katika eneo hilo ili kuhifadhi maji kwenye ardhi kwa ajili ya kilimo cha majira ya mchipuko katika mwaka ujao.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Misri yafunga Jumba la Makumbusho Kuu la Misri kwa ajili ya kufunguliwa rasmi
Mwezi mpevu wavutia kote China wakati wa Sikukuu ya Mbalamwezi ya China
Wanasarakasi wafanya maonyesho katika Eneo la Ulimwengu wa Sarakasi la Wuqiao mjini Cangzhou, China
Sikukuu ya mavuno ya wakulima yaadhimishwa katika Mkoa wa Xizang, China
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma