Lugha Nyingine
Daraja kubwa la Tianmen laendelea kujengwa katika Mkoa wa Guizhou wa China (3)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 07, 2026
![]() |
| Picha iliyopigwa Januari 6, 2026 ikionyesha daraja kubwa la Tianmen linaloendelea kujengwa katika Mkoa wa Guizhou, kusini magharibi mwa China. (Xinhua/Tao Liang) |
Ujenzi wa sehemu kuu ya daraja kubwa la Tianmen kwenye barabara kuu ya Anshun-Panzhou umekamilishwa hivi karibuni mkoani Guizhou. Daraja hilo lina urefu wa mita 1,553 likiwa na kimo cha urefu wa mita 560 wa kutoka ardhini hadi juu.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma




