Lugha Nyingine
Wilaya ya Puyang ya China yajenga mfumo wa mnyororo kamili wa viwanda vya kuzalisha kahawa (8)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 30, 2026
![]() |
| Mfanyakazi akiingiza kimiminika cha kahawa ndani ya trei kwenye karakana ya kugandisha na kukausha kahawa ya eneo maalum la kielelezo la viwanda vya kahawa katika Wilaya ya Puyang, Mkoa wa Henan, katikati mwa China, Januari 27, 2026. (Xinhua/Hao Yuan) |
Katika miaka ya hivi karibuni, Wilaya ya Puyang katika Mkoa wa Henan katikati mwa China imejenga eneo maalum la kielelezo la viwanda vya kahawa, ikianzisha viwanda vya kusindika kahawa na kujenga mfumo wa mnyororo kamili wa viwanda vya kuzalisha kahawa. Kwa kununua maharagwe ya kahawa hasa kutoka Ethiopia na Uganda, bidhaa zake husafirishwa kuuzwa katika nchi mbalimbali, zikiwemo Singapore na Marekani.
(Wahariri wa tovuti:Liu Mengxue,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma




