Lugha Nyingine
Bunge la Umma la China lafanya mkutano na waandishi wa habari kabla ya mkutano wa mwaka (4)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 05, 2026
BEIJING - Bunge la 14 la Umma la China (NPC), chombo cha utungaji sheria cha China, limefanya mkutano na waandishi wa habari jana Jumatano, siku moja kabla ya kufunguliwa kwa mkutano wake wa mwaka.
Lou Qinjian, msemaji wa mkutano huo wa nne wa Bunge la 14 la Umma, aliwaelezea waandishi wa habari juu ya hali ya mkutano huo.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Kupatwa kwa mwezi kikamilifu kwashuhudiwa katika sehemu mbalimbali nchini China

"Tamasha la Maolong" la kabila la Wayilao lasherehekewa kwa ngoma ya dragoni mkoani Guizhou, China

Mji mkongwe wa Wuzhen, China wazindua shughuli mbalimbali wakati wa Mwaka Mpya wa Jadi wa China

Hong Kong Yasherehekea Mwaka Mpya wa Jadi wa Farasi wa China kwa Maonyesho ya Fataki
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
