Lugha Nyingine
Mji wa Shenzhen, China wafuatilia njia ya kipekee ya uhifadhi wa bioanuwai katika maeneo ya mijini
Katika miaka ya hivi karibuni, Mji wa Shenzhen katika Mkoa wa Guangdong, kusini mwa China umekuwa ukifuatilia njia ya kipekee ya uhifadhi wa bioanuwai katika maeneo ya mijini kwa kujenga njia za kuvuka za kiikolojia, kujenga miundombinu rafiki kwa mazingira na kutekeleza usimamizi bora wa ikolojia.
Jitihada hizo zimehifadhi nafasi ya kutosha kwa makazi ya wanyamapori na njia za wanyama wanaoishi kwa kuhama hama, na kuunda "njia mbili" ili kuunga mkono kuishi kwa mapatano kati ya wanadamu na wanyamapori.

Ndege wa Kwarara waingia msimu wa kuzaliana huko Shaanxi, China

Eneo la kaboni-sifuri katika Mkoa wa Hainan laonyesha vitendo vya kijani vya China

Vifaa vya kisasa vya usafi vyatoa huduma kwenye Mkutano wa Mwaka wa Jukwaa la Boao la Asia 2026

Eneo Jipya la Xiong'an la China labadilika kuwa mji wenye nguvu hai kutoka mpango
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
