Lugha Nyingine
Mji wa Shenzhen wajenga "mduara wa huduma za malezi ya watoto wa dakika 15" ili kupunguza mzigo wa familia (2)
Mji wa Shenzhen katika Mkoa wa Guangdong, kusini mwa China unajenga "mduara wa huduma za malezi ya watoto wa dakika 15" unaohudumia siku 1,000 za kwanza za maisha ya mtoto ili kupunguza mzigo wa familia na kuhimiza uzazi zaidi.
Kwa kuungwa mkono na serikali, jamii na watoa huduma za kitaalamu pamoja, mji huo umekuwa ukifanyia kazi mageuzi ya vituo vya umma ili kuunda huduma za malezi ya watoto zinazopatikana kwa urahisi, kwa gharama nafuu na zilizo karibu na nyumba za watoto.
Kwa sasa, Shenzhen imeanzisha nafasi 109,000 za huduma za malezi ya watoto zenye angalau kituo kimoja cha chekechea cha umma au kituo cha huduma za chekechea katika kila kitongoji.

Ndege wa Kwarara waingia msimu wa kuzaliana huko Shaanxi, China

Eneo la kaboni-sifuri katika Mkoa wa Hainan laonyesha vitendo vya kijani vya China

Vifaa vya kisasa vya usafi vyatoa huduma kwenye Mkutano wa Mwaka wa Jukwaa la Boao la Asia 2026

Eneo Jipya la Xiong'an la China labadilika kuwa mji wenye nguvu hai kutoka mpango
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
