Mkoa wa Heilongjiang, China waingia katika "msimu wa dhahabu" wa kupanda miche ya mpunga (5)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 13, 2026
Mkoa wa Heilongjiang, China waingia katika
Picha iliyopigwa Mei 8, 2026 ikionyesha wakulima wakipanda miche ya mpunga shambani katika sehemu ya Mji wa Fujin, Mkoa wa Heilongjiang, kaskazini mashariki mwa China. (Picha na Qu Yubao/Xinhua)

Hivi karibuni, Mkoa wa Heilongjiang, kaskazini mashariki mwa China umeingia katika "msimu wa dhahabu" wa kupanda miche ya mpunga.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha