Mkoa wa Heilongjiang, China waingia katika "msimu wa dhahabu" wa kupanda miche ya mpunga

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 13, 2026
Mkoa wa Heilongjiang, China waingia katika
Wakulima wakipandikiza miche ya mpunga kwenye kituo cha upandaji wa mimea katika sehemu ya Mji wa Suihua, Mkoa wa Heilongjiang, kaskazini mashariki mwa China, Mei 11, 2026. (Picha na Liu Huapeng/Xinhua)

Hivi karibuni, Mkoa wa Heilongjiang, kaskazini mashariki mwa China umeingia katika "msimu wa dhahabu" wa kupanda miche ya mpunga.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha