Droni ya kuangazia yasaidia mashine za kilimo kuvuna ngano wakati wa usiku mkoani Anhui, China (3)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 04, 2026
Droni ya kuangazia yasaidia mashine za kilimo kuvuna ngano wakati wa usiku mkoani Anhui, China
Picha iliyopigwa Juni 2, 2026 ikionesha, katika Wilaya ya Feidong, Mji wa Hefei wa Mkoa wa Anhui, Mashariki mwa China, mashine za kilimo zikipakia ngano zilizovunwa, huku shamba likiangazwa kwa droni inayounganishwa na mashine za umeme ardhini kwa kupitia waya za kushikiliwa. (Xinhua/Du Yu)

Siku hizi, msimu wa kuvuna ngano umeanza katika sehemu mbalimbali mkoani Anhui, China. Katika usiku wa Jumanne, kampuni ya usambazaji umeme ya Hefei ya Gridi ya Anhui ya China ilipeleka droni inayounganishwa na mashine za umeme ardhini kwa kupitia waya za kushikiliwa, ili kutoa mwanga kwa shamba na kuwasaidia waendesha mashine za kilimo kufanya kazi wakati wa usiku.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha