Lugha Nyingine
Shughuli mbalimbali za mashua ya dragoni zafanyika sehemu mbalimbali za China (3)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 15, 2026
![]() |
| Washiriki wakishindana kwenye mbio za mashua ya dragoni, huko Jingzhou, Mkoa wa Hubei, katikati mwa China, Juni 13, 2026. (Picha na Ye Liming/Xinhua) |
Shughuli mbalimbali za mashua ya dragoni zimefanyika sehemu mbalimbali za China jana Jumapili ili kukaribisha Sikukuu ya Duanwu ya tarehe 5 ya mwezi wa 5 kwa kalenda ya kilimo ya China, ambayo pia inajulikana ni Siku ya Mashua ya Dragoni, ambayo itakuwa Tarehe Juni 19 mwaka huu.
(Wahariri wa tovuti:Liu Mengxue,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma




