Lugha Nyingine
Mandhari ya majira ya joto ya Ziwa Lugu Kusini-Magharibi mwa China (3)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 06, 2026
Katika miaka ya hivi karibuni, mamlaka za serikali za mitaa katika maeneo ya mpaka kati ya mikoa ya Sichuan na Yunnan ya kusini magharibi mwa China zimekuwa zikisukuma mbele bila kukoma uhifadhi wa ikolojia ya Ziwa Lugu na kuzidisha usimamizi wa ushirikiano wa mikoa hiyo miwili, hali ambayo imeleta matokeo ya aina yake ya ikolojia na ukuaji tulivu katika tasnia za kitamaduni na utalii.
(Wahariri wa tovuti:Liu Mengxue,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma




