Mwanafunzi wa Saudi Arabia akumbatia fursa katika ushirikiano wa nishati kati ya China na Saudi Arabia (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 22, 2026
Mwanafunzi wa Saudi Arabia akumbatia fursa katika ushirikiano wa nishati kati ya China na Saudi Arabia
Rimaz Dakhilallah Aljohani (kushoto) akifahamishwa kuhusu kifaa cha kuchomelea kwa kutumia AI kwenye Tawi la Tianjin la Kiwanda cha Uzalishaji kwa Kutumia AI cha Kampuni ya Uhandisi wa Mafuta Baharini (COOEC) mjini Tianjin, kaskazini mwa China, Julai 9, 2026. (Picha na Li Haowei/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Liu Mengxue,Zhao Jian)

Picha