China yaadhimisha Siku ya Walimu ya 42 kwa shughuli mbalimbali za kuwashukuru walimu (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 11, 2026
China yaadhimisha Siku ya Walimu ya 42 kwa shughuli mbalimbali za kuwashukuru walimu
Wanafunzi wakipiga picha pamoja na mwalimu wao kwenye shule ya msingi katika Mji wa Shangqiu mkoani Henan, katikati mwa China, Septemba 10, 2026. (Picha na Wang Gaochao/Xinhua)

China imeadhimisha Siku ya Walimu ya 42 jana Alhamisi kwa kufanya shughuli mbalimbali za kutoa shukrani kwa walimu kote nchini.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha