Maandalizi ya kukaribisha Mwaka Mpya wa Jadi wa China yafanyika katika hali motomoto

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 28, 2022
 Maandalizi ya kukaribisha Mwaka Mpya wa Jadi wa China yafanyika katika hali motomoto
Katika Kituo cha Majirani wa Furaha cha Mji wa Qianyuan wa Wilaya ya Deqing katika Mji wa Huzhou, Mkoani Zhejiang, China, watoto wakionesha taa za jadi ambazo wametengeneza wenyewe Januari 27. (Mpiga picha: Ni Lifang)

Sikukuu ya Mwaka mpya wa jadi wa China wa Chuimilia inakaribia huku hali ya kusherehekea Mwaka Mpya kila mahali nchini China ikiwa na pilikapilika zaidi.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha