Ujenzi wa Daraja la Zishui kando ya reli ya Changde-Yiyang-Changsha nchini China ukiendelea (8)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 19, 2022
Ujenzi wa Daraja la Zishui kando ya reli ya Changde-Yiyang-Changsha nchini China ukiendelea
Picha iliyopigwa Tarehe 18 Julai 2022 kutoka juu ikionyesha wafanyakazi wakiweka vyuma vya reli kwenye daraja kuu la Zishui kando ya njia ya reli ya Changde-Yiyang-Changsha, katika Mkoa wa Hunan, nchini China. (Xinhua/Chen Sihan)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha