Katika Picha: Watu wakifurahia vivutio mbalimbali wakati wa likizo ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China (10)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 28, 2023
Katika Picha: Watu wakifurahia vivutio mbalimbali wakati wa likizo ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China
Watu wakitembelea mji wa kale wa Jiuzhou katika Wilaya inayojiendesha ya Kabila la Wamiao na Wadong ya Qiandongnan, Mkoa wa Guizhou, Kusini-Magharibi mwa China, Januari 26, 2023. (Picha na Wang Chao/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha