

Lugha Nyingine
Viwanda na makampuni nchini China yarejea kazini baada ya likizo ya Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China (7)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 29, 2023
![]() |
Mfanyakazi akifanya kazi katika eneo la ujenzi wa sehemu ya barabara kuu huko Xiangyang, Mkoa wa Hubei, Katikati mwa China, Januari 28, 2023. (Picha na Jin Wei/Xinhua) |
Viwanda na makampuni kote nchini China yamerejea kazini baada ya likizo ya Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China iliyokwisha Ijumaa wiki hii.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma