

Lugha Nyingine
Viwanda na makampuni nchini China yarejea kazini baada ya likizo ya Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 29, 2023
![]() |
Mfanyakazi akifanya kazi katika ghala huko Qingdao, Mkoa wa Shandong, Mashariki mwa China, Januari 28, 2023. (Picha na Liu Qiang/Xinhua) |
Viwanda na makampuni kote nchini China yamerejea kazini baada ya likizo ya Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China iliyokwisha Ijumaa wiki hii.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma