Maendeleo ya kijani na nishati mpya yafuatiliwa na watu wengi kwenye Mkutano wa Boao (7)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 31, 2023
Maendeleo ya kijani na nishati mpya yafuatiliwa na watu wengi kwenye Mkutano wa Boao
Picha hii iliyopigwa Tarehe 30 Machi 2023 ikionyesha vigae vya sakafu vinavyotumia nishati ya jua mbele ya kituo cha waandishi wa habari cha Mkutano wa Baraza la Boao la Asia 2023 (BFA 2023) huko Boao, mkoani Hainan, China. (Xinhua/Yang Guanyu)

Baraza la Boao la Asia 2023 (BFA 2023) linafanya mkutano wake wa mwaka kuanzia Machi 28 hadi leo Machi 31 huko Boao. Maendeleo ya kijani na nishati mpya yamefuatiliwa na watu wengi kwenye mkutano huo.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha