Shughuli za Kilimo cha majira ya baridi zayafanywa kwa juhudi kubwa kote nchini China (3)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 24, 2023
Shughuli za Kilimo cha majira ya baridi zayafanywa kwa juhudi kubwa kote nchini China
Picha hii ya angani iliyopigwa Novemba 22, 2023 ikionesha wakulima wakivuna figili shambani kwenye Kijiji cha Sanyuanguan kilichoko Mji wa Nanchong katika Mkoa wa Sichuan, Kusini Magharibi mwa China (Picha na Liang Zidong/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha