Shughuli za Kilimo cha majira ya baridi zayafanywa kwa juhudi kubwa kote nchini China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 24, 2023
Shughuli za Kilimo cha majira ya baridi zayafanywa kwa juhudi kubwa kote nchini China
Picha hii ya angani iliyopigwa Novemba 22, 2023 ikionesha mkulima akihamisha machungwa katika Kijiji cha Langdong kilichoko Mji wa Yongzhou katika Mkoa wa Hunan, Katikati mwa China (Picha na Jiang Keqing/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha