Watu wa sehemu mbalimbali za China wajiandaa kwa Mwaka Mpya kwa kalenda ya jadi ya China (4)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 16, 2024
Watu wa sehemu mbalimbali za China wajiandaa kwa Mwaka Mpya kwa kalenda ya jadi ya China
Fundi akitengeneza taa ya mapambo huko Binzhou, Mkoa wa Shandong, Mashariki mwa China, Januari 14, 2023. (Picha na Chu Baorui/Xinhua)

Likizo ya Mwaka mpya kwa kalenda ya jadi ya China 2024 itaanzia tarehe 10 hadi 17 mwezi wa Februari. 

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha