Watu wa sehemu mbalimbali za China wajiandaa kwa Mwaka Mpya kwa kalenda ya jadi ya China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 16, 2024
Watu wa sehemu mbalimbali za China wajiandaa kwa Mwaka Mpya kwa kalenda ya jadi ya China
Mteja akichagua mapambo kwa ajili ya mwaka mpya kwa kalenda ya jadi ya China kwenye soko huko Yutian, Mkoa wa Hebei, Kaskazini mwa China, Januari 13, 2024. (Picha na Liu Mancang/Xinhua)

Likizo ya Mwaka mpya kwa kalenda ya jadi ya China 2024 itaanzia tarehe 10 hadi 17 mwezi wa Februari. 

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha