

Lugha Nyingine
Shughuli mbalimbali za Kukaribisha Siku ya Wauguzi ya Kimataifa zafanyika
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 11, 2024
![]() |
Tarehe 10, Mei, wauguzi wa Hospitali ya pili ya Chuo cha Matibabu cha Xingtai cha Mkoa Hebei, China wakifanya mashindano ya kazi ya ufundi. (Picha na Zhang Chi/Xinhua) |
Siku hizi shughuli mbalimbali zimefanyika nchini China, ili kukaribisha Siku ya Wauguzi ya Kimataifa, ambayo ni tarehe 12, Mei.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Renato Lu)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma