

Lugha Nyingine
Utalii wastawi kote nchini China wakati wa likizo ya Siku ya Taifa
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Oktoba 06, 2024
![]() |
Watalii wakitembelea Magofu ya St. Paul mkoani Macao, kusini mwa China, Oktoba 2, 2024. (Xinhua/Cheong Kam Ka) |
Kipindi cha likizo ya Siku ya Taifa ya China, ambacho kilianzia Oktoba 1 na kinatarajiwa kufikia tamati Oktoba 7 mwaka huu, ni msimu wa pilika nyingi za watu kusafiri na kufanya utalii nchini China.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma