

Lugha Nyingine
Mwaka Mpya wa Jadi wa China washerehekewa sehemu mbalimbali duniani (8)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 31, 2025
![]() |
Wasanii wenyeji wakitumbuiza ngoma ya kijadi ya Benin kwenye Tamasha la Mwaka Mpya wa Jadi wa China katika Kituo cha Utamaduni cha China mjini Contonou, Benin, Januari 25, 2025. (Picha na Zeraphin Zounyekpe/Xinhua) |
Nchi nyingi duniani zimefanya shughuli mbalimbali kusherehehea Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi, kwa kalenda ya kilimo ya China, ambayo kwa mwaka huu iliangukia Januari 29.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma