

Lugha Nyingine
Watu wafurahia shughuli mbalimbali kote China kusherehekea Mwaka Mpya wa Jadi wa China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Februari 01, 2025
Watu wamekuwa wakifurahia shughuli mbalimbali kusherehekea sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China ambayo iliangukia Januari 29 mwaka huu. Sikukuu hiyo inaenda sambamba na likizo ya mapumziko ya siku nane kwa Wachina wote, ambayo huwapa fursa watu kujumuika na wanafamilia na kujionea shughuli na burudani mbalimbali.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Shughuli mbalimbali za kusherehekea Mwaka Mpya wa Jadi wa China zafanyika katika Nchi Nyingi
Muonekano wa Kisiwa cha Weizhou katika Mkoa wa Guangxi, Kusini mwa China
Hafla ya Kukaribisha Panda wa China yafanyika katika Bustani ya Wanyama ya Adelaide, Australia
Shughuli mbalimbali zafanyika sehemu mbalimbali China kukaribisha Mwaka Mpya ujao wa Jadi wa China
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma