

Lugha Nyingine
Mkutano wa Kimataifa wa 20 juu ya Maendeleo ya shughuli za kilimo za Juncao wafanyika Fuzhou nchini China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 19, 2025
Watu wa nchini China na wale kutoka nchi mbalimbali wanaohudhuria Mkutano wa 20 wa Kimataifa wa Ukuzaji wa shughuli za kilimo za Juncao wamefahamishwa kuhusu maendeleo ya shughuli hizo za Juncao mjini Fuzhou, Mkoa wa Fujian, kusini-mashariki mwa China na kubadilishana uzoefu.
Juncao ni nyasi chotara na rasilimali ya kilimo yenye kazi nyingi iliyovumbuliwa nchini China na kuenezwa duniani kote.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Miti ya jacaranda katika mchanuo wa maua yavutia watalii mjini Kunming, China
Upandaji mahindi waingia kipindi cha kilele katika Mkoa wa Mongolia ya Ndani, China
UNESCO latoa wito upya wa kuimarishwa ulinzi wa maeneo ya urithi ya Afrika
Maonyesho ya Kimataifa ya Baiskeli ya China 2025 yaanza Shanghai
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma