

Lugha Nyingine
Majira ya kuvuna mazao ya mpunga yawadia katika Mkoa wa Hainan, Kusini mwa China (2)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 09, 2025
![]() |
Mkulima akikausha mpunga uliovunwa katika Kijiji cha Moqiao cha Eneo la Qiongshan la Mji wa Haikou, Mkoa wa Hainan, kusini mwa China, Juni 7, 2025. (Xinhua/Pu Xiaoxu) |
Majira ya kuvuna mazao ya mpunga yamewadia katika Kijiji cha Moqiao, Wilaya ya Qiongshan ya Mji wa Haikou, Mkoa wa Hainan, kusini mwa China, ambapo wakulima wanatumia kikamilifu hali nzuri ya hewa kuharakisha uvunaji.
Katika miaka ya hivi karibuni, maendeleo ya eneo hilo la uzalishaji wa mazao ya mpunga si tu yamefufua mashamba ambayo yalikuwa yametelekezwa hapo awali lakini pia yamejenga na kukuza chapa wakilishi za mazao ya kilimo, kuongeza mapato ya wakulima na kuhimiza ustawi wa kijiji.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma