

Lugha Nyingine
Maonesho ya 11 ya Teknolojia ya Kimataifa ya Shanghai China yaanza rasmi (4)
Maonyesho ya 11 ya Teknolojia ya Kimataifa ya Shanghai China yameanza rasmi huko Shanghai, mashariki mwa China jana Jumatano. Eneo la maonyesho hayo limefikia mita za mraba 35,000, maonyesho hayo ya mwaka huu yanahusisha sehemu nne za maonyesho ya mada maalumu, sehemu ya huduma ya biashara na sehemu ya shughuli za biashara. Kampuni na wadau wapatao 1,000 kutoka nchi na maeneo takriban 20 wanaonesha mafanikio yao ya uvumbuzi kwenye maonyesho hayo.
Wajenzi waendelea kujenga daraja refu zaidi duniani katika Mkoa wa Guizhou wa China
Majira ya kuvuna mazao ya mpunga yawadia katika Mkoa wa Hainan, Kusini mwa China
Migodi iliyotelekezwa yageuzwa kuwa vivutio vya kitalii katika Mkoa wa Shandong, China
LEGOLAND Shanghai Resort kuanza shughuli za majaribio kabla ya kufunguliwa Julai
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma