

Lugha Nyingine
Safari ya Swala wa Tibet ya kuhama kwenda kuzaa katika Mkoa wa Xizang, China yaendelea
LHASA - Kila mwaka, swala wajawazito wa Tibet katika Mkoa unaojiendesha wa Xizang, kusini-magharibi mwa China wanaanza uhamaji wao wa mwaka kwenda kujifungua kati ya miezi ya Mei na Julai. Maadui wao wa asili wakiwemo mbwa mwitu na dubu muda wote huwa wapo kuwavizia. Hata hivyo, Swala wengi kati yao wanaweza kufanikiwa kuepusha hatari na kuzaa watoto.
Idadi ya swala wa Tibet katika mkoa huo wa Xizang sasa imeongezeka hadi kufikia zaidi ya 300,000, na hadhi yao ya ulinzi imeshushwa kutoka "kuwa hatarini kutoweka" hadi "kuwa karibu na kutishiwa," takwimu kutoka idara ya ikolojia na mazingira ya mkoa huo zinaonesha.
Wajenzi waendelea kujenga daraja refu zaidi duniani katika Mkoa wa Guizhou wa China
Majira ya kuvuna mazao ya mpunga yawadia katika Mkoa wa Hainan, Kusini mwa China
Migodi iliyotelekezwa yageuzwa kuwa vivutio vya kitalii katika Mkoa wa Shandong, China
LEGOLAND Shanghai Resort kuanza shughuli za majaribio kabla ya kufunguliwa Julai
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma