

Lugha Nyingine
Maonyesho ya 3 ya Kimataifa ya Uchukuzi wa Meli ya Tianjin, China yaanza (2)
Maonyesho ya 3 ya Kimataifa ya Uchukuzi wa Meli ya Tianjin yameanza mjini Tianjin, kaskazini mwa China jana Alhamisi. Yakifanyika chini ya kaulimbiu ya "Kusafirisha kwa Meli kwenda Duniani na kuelekea Siku za Baadaye", maonyesho hayo ya siku tatu yanafuatilia mienendo na fursa zinazoibuka katika mnyororo wa uchukuzi wa meli duniani.
Kampuni zaidi ya 440 zinashiriki kwenye maonyesho hayo yanayochukua eneo lenye ukubwa wa mita za mraba 50,000 na yakijumuisha maeneo 9 ya maonyesho, kama vile bandari za kimataifa, uchukuzi wa meli wa kijani na kisasa, mnyororo wa viwanda vya uchukuzi wa meli na mambo mengine.
Wajenzi waendelea kujenga daraja refu zaidi duniani katika Mkoa wa Guizhou wa China
Majira ya kuvuna mazao ya mpunga yawadia katika Mkoa wa Hainan, Kusini mwa China
Migodi iliyotelekezwa yageuzwa kuwa vivutio vya kitalii katika Mkoa wa Shandong, China
LEGOLAND Shanghai Resort kuanza shughuli za majaribio kabla ya kufunguliwa Julai
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma