

Lugha Nyingine
Barabara Kuu ya Lingyuan-Suizhong yaendelea kujengwa katika Mkoa wa Liaoning, China (3)
Ujenzi wa sehemu ya Barabara ya mwendo kasi ya Lingyuan-Suizhong unaendelea kufanyika katika Wilaya ya Jianchang ya Mji wa Huludao wa Mkoa wa Liaoning, kaskazini-mashariki mwa China. Baada ya kukamilika, barabara hiyo itaboresha hali ya mawasiliano katika sehemu ya magharibi ya Mkoa wa Liaoning na mashariki mwa Mkoa unaojiendesha wa Mongolia ya Ndani. Pia itatoa mchango muhimu katika kustawisha kituo cha viwanda vilivyoanzishwa zamani kaskazini mashariki mwa China, na kuhimiza ukuaji wa uchumi kwenye maeneo ya pembezoni mwa barabara hiyo.
Wajenzi waendelea kujenga daraja refu zaidi duniani katika Mkoa wa Guizhou wa China
Majira ya kuvuna mazao ya mpunga yawadia katika Mkoa wa Hainan, Kusini mwa China
Migodi iliyotelekezwa yageuzwa kuwa vivutio vya kitalii katika Mkoa wa Shandong, China
LEGOLAND Shanghai Resort kuanza shughuli za majaribio kabla ya kufunguliwa Julai
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma