

Lugha Nyingine
Maonesho ya Ngoma ya kijadi ya Dakpo Axie yafanyika kwenye eneo la vivutio vya utalii la Nagqu, Xizang, China (5)
Kundi la michezo ya sanaa la Wilaya ya Biru limekuwa likicheza ngoma ya kijadi ya Dakpo Axie, ambayo ni maonesho ya sita ya mali ya kitaifa ya urithi wa utamaduni usioshikika wa China yaliyochezwa na kundi hilo mwaka huu katika eneo la vivutio vya utalii la Mlima Sapukonglagabo.
Katika miaka ya hivi karibuni, Mji wa Nagqu umefanya juhudi kubwa za kuhimiza mafungamano kati ya urithi wa utamaduni usioshikika na utalii. Watalii sasa wamekuwa na fursa zaidi za kutazama maonyesho ya michezo ya sanaa inayohusu mali ya urithi wa utamaduni usioshikika kwenye maeneo ya vivutio vya utalii wakati wa likizo na msimu wa kilele cha utalii. (Xinhua/Jigme Dorje)(Xinhua/Jigme Dorje)
Wilaya ya Xuan’en yahimiza utalii wa usiku kando ya Mto Gongshui Katikati mwa China
Eneo la mtaa mkongwe lawa na ustawi kwa uvumbuzi wa kitamaduni na utalii mkoani Jiangxi, China
Mji wa Tianjin, China waharakisha ufungamanishaji wa uchumi wa kidijitali na uchumi halisi
Ardhioevu yalinda spishi za ndege kutoka kwenye uwanda hadi mijini
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma