

Lugha Nyingine
Maonyesho ya uchumi wa anga ya chini yaanza rasmi mjini Shanghai, China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 24, 2025
Maonyesho ya Kimataifa ya Usafiri wa Anga wa Teknolojia ya Hali ya Juu yameanza Shanghai, Mashariki mwa China jana Jumanne Julai 23 na yamepangwa kuendelea hadi Julai 26, ambapo kampuni washiriki wa maonesho hayo karibu 300 zinaonyesha miundombinu yao ya anga ya chini pamoja na bidhaa na huduma zinazounga mkono.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma