

Lugha Nyingine
Watalii wanatembelea wilaya inayojiendesha ya kabila la watajik, Mkoani Xinjiang, China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 05, 2025
![]() |
Watu wakitembelea bustani ya milima ya barafu ya Muztagata kwenye wilaya inayojiendesha ya kabila la watajik ya Taxkorgan, Mkoa Xinjiang, China, Agosti 3, 2025. (Xinhua/Wang Fei) |
Wilaya inayojiendesha la kabila la watajik ya Taxkorgan, imeingia kwenye kipindi cha kuwa na watalii wengi, huku watalii zaidi wakienda kufurahia utamaduni na mandhari kwenye wilaya hiyo.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Renato Lu)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma