Lugha Nyingine
Zaidi ya wapiganaji 35 wa kundi la ugaidi wauawa kwenye mashambulizi ya anga mpakani mwa Nigeria
Jeshi la anga la Nigeria limesema, zaidi ya wapiganaji 35 wa kundi la kigaidi wameuawa katika shambulio la anga lililofanywa na Jeshi hilo karibu na mpaka kati ya Nigeria na Cameroon jumamosi iliyopita.
Taarifa iliyotolewa na jeshi la anga la Nigeria imesema, wapiganaji hao walikuwa wanapanga kushambulia vikosi vya jeshi la Nigeria vilivyoko kwenye eneo la Kumche, jimbo la Borno.
Taarifa hiyo pia imesema, jeshi hilo lilishambulia vituo vinne vya wapiganaji hao kufuatia taarifa walizopokea kutoka kwa vyanzo vya kuaminika.

Uwekaji wa nguzo za chuma kwenye Daraja la Mto Hanjiang la reli ya kasi ya Xi'an-Shiyan wakamilika

Michezo ya Dunia ya Chengdu | Sherehe ya Kufungwa kwa Michezo ya 12 ya Dunia yafanyika

Reli ya kasi China iliyoko kaskazini zaidi mwa China yafikisha miaka 10 tangu ilipoanzishwa

Mandhari ya Arxan yenye vivutio vingi vya utalii, Kaskazini mwa China
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma