Lugha Nyingine
Mradi wa kudhibiti hali ya jangwa waendelea Aksay, katika Mkoa wa Gansu, China (3)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Desemba 15, 2025
Ujenzi wa mradi wa kuhifadhi maji, ulinzi na ufufukaji wa ikolojia pamoja na miradi midogo ikiwemo ya kuzuia mchanga na kupanda miti unaendelea kufanyika kwenye eneo la hekta 14,800 katika Wilaya inayojiendesha ya Kabila la Wakazak ya Aksay, Mkoa wa Gansu, kaskazini magharibi mwa China.
(Wahariri wa tovuti:Liu Mengxue,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma




